Hatutaendelea nalo kwa sasa.Ukweli hata hivyo ni kwamba MUngu aliona haja ya mwanadamu na kukutana na hitaji lake.Je? Si jambo la ajabu kwamba tunaye ambaye tunaweza kumgeukia kwa mahitaji yetu,hasa ya kiroho?
"Tulielezea jinsi madini ya almasi yalivyoumbwa kutokana na mbinyo kutoka pande sote hadi utakapopata kitu kipya cha thamani baada ya kipindi kirefu kama vile hiyo almasi au mkaa wa mawe na hata dhahabu."
Katika somo la leo tunanukuu injili ya Yohana 19:14 ambayo inazungumzia
kwamba kwa kuwa mimi ninaishi,nanyi pia mtaishi.Na kwa sababu alikufa ,hata nasi
tulikufa na kufufuka naye,wakati alipofufuliwa kutoka wafu.
Tulimalizia kwa kuichunguza aya ya 3 na ya 4 za sura ya 4 ya Warumi kwenye kipindi
kilichopita.Kwa muhtasari tulisoma haya ....Maana maandiko yasemaje?
"Tulielezea jinsi madini ya almasi yalivyoumbwa kutokana na mbinyo kutoka pande sote hadi utakapopata kitu kipya cha thamani baada ya kipindi kirefu kama vile hiyo almasi au mkaa wa mawe na hata dhahabu."
Naam sura ya 6 ya Warumi itaingia kwa undani kwenye swala
hili.Hatutaendelea nalo kwa sasa.Ukweli hata hivyo ni kwamba MUngu aliona haja
ya mwanadamu na kukutana na hitaji lake.Je? Si jambo la ajabu kwamba tunaye
ambaye tunaweza kumgeukia kwa mahitaji yetu,hasa ya kiroho?