Warumi 5:20-21

Hatutaendelea nalo kwa sasa.Ukweli hata hivyo ni kwamba MUngu aliona haja ya mwanadamu na kukutana na hitaji lake.Je? Si jambo la ajabu kwamba tunaye ambaye tunaweza kumgeukia kwa mahitaji yetu,hasa ya kiroho?

Warumi 5:3

"Tulielezea jinsi madini ya almasi yalivyoumbwa kutokana na mbinyo kutoka pande sote hadi utakapopata kitu kipya cha thamani baada ya kipindi kirefu kama vile hiyo almasi au mkaa wa mawe na hata dhahabu."

Warumi 7:5

Warumi 8:21

Mwito – 370

Warumi 6:4-5

Katika somo la leo tunanukuu injili ya Yohana 19:14 ambayo inazungumzia kwamba kwa kuwa mimi ninaishi,nanyi pia mtaishi.Na kwa sababu alikufa ,hata nasi tulikufa na kufufuka naye,wakati alipofufuliwa kutoka wafu.

Warumi 8:5

Warumi 4:5

Tulimalizia kwa kuichunguza aya ya 3 na ya 4 za sura ya 4 ya Warumi kwenye kipindi kilichopita.Kwa muhtasari tulisoma haya ....Maana maandiko yasemaje?

Mwito – 386

Warumi 5:1-5

.Neno hilo pia linaweza kutafsiriwa kuwa tumaini halituvunji moyo.Je? twaweza kuvunjwa moyo kutokana na lile ambalo MUngu amlipanga?

Warumi 7:7

sajili ya -barua pepe

Sign up for the TWR360 Newsletter

Access updates, news, Biblical teaching and inspirational messages from powerful Christian voices.

Ahsante kwa kujisajili ili kupata ujumbe kutoka TWR360Thank you for signing up to receive updates from TWR360.

Habari inayohitajika haipo

This site is protected by reCAPTCHA, and the Google Privacy Policy & Terms of Use apply.