Basi twaona ya kuwa mwanadamu huhesabiwa haki kwa Imani pasipo matendo ya
sharia. Au je? Siye Mungu wa mataifa pia? Kama kwa kweli Mungu ni mmoja, atakeyewahesabia haki wale walioathiriwa katika Imani, nao wale wasioathiriwa atawahesabia haki kwa njia ya Imani iyo hiyo. Basi je? Twaitabatilisha sharia kwa Imani hiyo?