. Tumefisadihata nainjili tunapoiuza injili twaifisadi maana wokovu ni kwa Imani katika yesu kristo tunapoongeza madoido yetu katika injili ya bwana wetu yesu kristo twafisadi na tunakuwa na upungufu
Ni vyema na Baraka kuu kuweka na kupalilia Imani yako kwa maombi na kujitwalia kanuni na ahadi za mungu kuliko kiburi na kujigamba kwako anapojigamba mtu huwa amesahau ule upendo wa kwanza kanisa al epheso lilikuwa katika hali hiyo hata mungu akamwamuru yohana kuwakumbusha ya kwamba kanisa lile lilikuwa lieacha upendo wa kwanza na lilipaswa kutubu na kuungama na kuurejesha uhusiano mwema na mungu.